1Ole kwa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu,
2Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu.
3Lile taji la maua, kiburi cha walevi cha Efraimu,
4Lile ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,
5Katika siku ile, Bwana Mwenye Nguvu Zote
6Atakuwa roho ya haki
7Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo,
8Meza zote zimejawa na matapishi
9“Yeye anajaribu kumfundisha nani?
10Kwa maana ni:
11Sawa kabisa, kwa midomo migeni
12wale ambao aliwaambia,
13Hivyo basi, neno la Bwana kwao litakuwa:
14Kwa hiyo sikieni neno la Bwana, enyi watu wenye dharau
15Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti,
16Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenyezi asemavyo:
17Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia
18Agano lenu na kifo litabatilishwa,
19Kila mara lijapo litawachukua,
20Kitanda ni kifupi mno kujinyoosha juu yake,
21Bwana atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu,
22Sasa acheni dharau zenu,
23Sikilizeni msikie sauti yangu,
24Wakati mkulima alimapo ili apande,
25Akiisha kusawazisha shamba,
26Mungu wake humwelekeza
27Iliki haipurwi kwa nyundo,
28Nafaka lazima isagwe ili kutengeneza mkate,
29Haya yote pia hutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote,