1Katika siku ile,
2Katika siku ile:
3Mimi, Bwana, ninalitunza,
4Mimi sijakasirika.
5Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,
6Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,
7Je, Bwana amempiga
8Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:
9Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,
10Mji ulio na boma umebaki ukiwa,
11Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa
12Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.
13Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.