1Ee Bwana, wewe ni Mungu wangu,
2Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi,
3Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,
4Umekuwa kimbilio la watu maskini,
5na kama joto la jangwani.
6Juu ya mlima huu Bwana Mwenye Nguvu Zote ataandaa
7Juu ya mlima huu ataharibu
8yeye atameza mauti milele.
9Katika siku ile watasema,
10Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu,
11Watakunjua mikono yao katikati yake,
12Atabomoa kuta ndefu za maboma yako