1Tazama, Bwana ataifanya dunia kuwa ukiwa
2ndivyo itakavyokuwa
3Dunia itaharibiwa kabisa
4Dunia inakauka na kunyauka,
5Dunia imetiwa unajisi na watu wake;
6Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia,
7Divai mpya inakauka na mzabibu unanyauka,
8Furaha ya matoazi imekoma,
9Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo,
10Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa,
11Barabarani wanalilia kupata mvinyo,
12Mji umeachwa katika uharibifu,
13Ndivyo itakavyokuwa duniani
14Wanainua sauti zao, wanapiga kelele kwa furaha,
15Kwa hiyo upande wa mashariki mpeni Bwana utukufu,
16Kutoka miisho ya dunia tunasikia uimbaji:
17Hofu, shimo na mtego vinakungojea,
18Kila akimbiaye asikiapo sauti ya hofu
19Dunia imepasuka,
20Dunia inapepesuka kama mlevi,
21Katika siku ile Bwana ataadhibu
22Watakusanywa pamoja
23Mwezi utatiwa haya, nalo jua litaaibishwa;