We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 2

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 1 Isaya Isaya 3 →

1Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:

2Katika siku za mwisho

3Mataifa mengi yatakuja na kusema,

4Atahukumu kati ya mataifa

5Njooni, enyi nyumba ya Yakobo,

6Umewatelekeza watu wako,

7Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,

8Nchi yao imejaa sanamu,

9Kwa hiyo mwanadamu atashushwa

10Ingieni kwenye miamba,

11Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa

12Bwana Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba

13kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana,

14kwa milima yote mirefu

15kwa kila mnara ulio mrefu sana

16kwa kila meli ya biashara,2:16 Au: ya Tarshishi (ona pia 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 60:9.)

17Majivuno ya mwanadamu yatashushwa,

18nazo sanamu zitatoweka kabisa.

19Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba,

20Siku ile, watu watawatupia

21Watakimbilia kwenye mapango miambani

22Acheni kumtumainia mwanadamu,

← Isaya 1 Isaya Isaya 3 →