1Tazama sasa, Bwana,
2shujaa na mtu wa vita,
3jemadari wa kikosi cha watu hamsini
4Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,
5Watu wataoneana wao kwa wao:
6Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake
7Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,
8Yerusalemu inapepesuka,
9Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,
10Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,
11Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!
12Vijana wanawatesa watu wangu,
13Bwana anachukua nafasi yake mahakamani,
14Bwana anaingia katika hukumu
15Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu
16Bwana asema,
17Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;
18Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,
19vipuli, vikuku, shela,
20vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,
21pete zenye muhuri, pete za puani,
22majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha,
23vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.
24Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;
25Wanaume wako watauawa kwa upanga,
26Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,