1Maono kuhusu Yuda na Yerusalemu ambayo Isaya mwana wa Amozi aliyaona wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.
2Sikieni, enyi mbingu! Sikilizeni, enyi dunia!
3Ngʼombe anamjua bwana wake,
4Lo! Taifa lenye dhambi,
5Kwa nini mzidi kupigwa?
6Kutoka wayo wako wa mguu hadi kwenye utosi wa kichwa chako
7Nchi yenu imekuwa ukiwa,
8Binti Sayuni ameachwa kama kipenu
9Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote1:9 Bwana Mwenye Nguvu Zote hapa ni Yehova Sabaoth, yaani Bwana wa Majeshi; pia Warumi 9:29 na Yakobo 5:4.
10Sikieni neno la Bwana,
11Bwana anasema, “Wingi wa sadaka zenu,
12Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu,
13Acheni kuniletea sadaka zisizokuwa na maana!
14Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa:
15Mnaponyoosha mikono yenu katika maombi,
16jiosheni na mkajitakase.
17jifunzeni kutenda mema!
18“Njooni basi tuhojiane,”
19Kama mkikubali na kutii,
20lakini kama mkikataa na kuasi,
21Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu
22Fedha yenu imekuwa takataka,
23Watawala wenu ni waasi,
24Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,
25Nitauelekeza mkono wangu dhidi yenu,
26Nitawarudishia waamuzi wenu kama ilivyokuwa siku za zamani,
27Sayuni itakombolewa kwa haki,
28Lakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa,
29“Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni
30Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka,
31Mtu mwenye nguvu atatoweka kama majani makavu yawakayo moto,