1Pelekeni wana-kondoo kama ushuru
2Kama ndege wanaopapatika
3“Tupeni shauri,
4Waacheni watoro wa Moabu wakae pamoja nanyi;
5Kwa upendo kiti cha enzi kitaimarishwa,
6Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:
7Kwa hiyo Wamoabu wanaomboleza,
8Mashamba ya Heshboni yananyauka,
9Hivyo ninalia kama Yazeri aliavyo,
10Furaha na shangwe zimeondolewa
11Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi,
12Wakati Moabu anapojitokeza mahali pake pa juu,
13Hili ndilo neno ambalo Bwana ameshasema kuhusu Moabu.
14Lakini sasa Bwana anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”