We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 17

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 16 Isaya Isaya 18 →

1Neno kuhusu Dameski:

2Miji ya Aroeri itaachwa

3Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,

4“Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia,

5Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka

6Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki,

7Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao,

8Hawataziangalia tena madhabahu,

9Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.

10Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu,

11hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote

12Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi,

13Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi,

14Wakati wa jioni, hofu ya ghafula!

← Isaya 16 Isaya Isaya 18 →