1Neno kuhusu Moabu:
2Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake,
3Wamevaa nguo za magunia barabarani,
4Heshboni na Eleale wanalia,
5Moyo wangu unamlilia Moabu;
6Maji ya Nimrimu yamekauka
7Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba
8Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu,
9Maji ya Dimoni yamejaa damu,