1Bwana atamhurumia Yakobo,
2Mataifa watawachukua
3Katika siku Bwana atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili,
4utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli:
5Bwana amevunja fimbo ya mwovu,
6ambayo kwa hasira waliyapiga mataifa
7Nchi zote ziko kwenye mapumziko na kwenye amani,
8Hata misunobari na mierezi ya Lebanoni
9Kuzimu kote kumetaharuki
10Wote wataitikia,
11Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu,
12Tazama jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,
13Ulisema moyoni mwako,
14Nitapaa juu kupita mawingu,
15Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu,
16Wale wanaokuona wanakukazia macho,
17yule aliyeifanya dunia kuwa jangwa,
18Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima
19Lakini wewe umetupwa nje ya kaburi lako
20Hutajumuika nao kwenye mazishi,
21Andaa mahali pa kuwachinjia wanawe
22Bwana Mwenye Nguvu Zote asema,
23“Nitaifanya kuwa mahali pa bundi,
24Bwana Mwenye Nguvu Zote ameapa,
25Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu,
26Huu ndio mpango uliokusudiwa kwa ajili ya ulimwengu wote,
27Kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote amekusudia,
28Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:
29Msifurahi, enyi Wafilisti wote,
30Maskini kuliko maskini wote watapata malisho,
31Piga yowe, ee lango! Bweka, ee mji!
32Ni jibu gani litakalotolewa