1Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:
2Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu,
3Nimewaamuru watakatifu wangu;
4Sikilizeni kelele juu ya milima,
5Wanakuja kutoka nchi za mbali sana,
6Ombolezeni, kwa maana siku ya Bwana i karibu,
7Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea,
8Hofu itawakamata,
9Tazameni, siku ya Bwana inakuja,
10Nyota za mbinguni na makundi ya nyota
11Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake,
12Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi,
13Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke,
14Kama swala awindwaye,
15Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo,
16Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande
17Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao,
18Mishale yao itawaangusha vijana,
19Babeli, johari ya falme,
20Hautakaliwa na watu kamwe
21Lakini viumbe wa jangwani watalala huko,
22Fisi watalia ndani ya ngome zake,