1Katika siku ile utasema:
2Hakika Mungu ni wokovu wangu;
3Kwa furaha mtachota maji
4Katika siku hiyo mtasema:
5Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu,
6Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,
Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli
1Katika siku ile utasema:
2Hakika Mungu ni wokovu wangu;
3Kwa furaha mtachota maji
4Katika siku hiyo mtasema:
5Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu,
6Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,