We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 12

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 11 Isaya Isaya 13 →

1Katika siku ile utasema:

2Hakika Mungu ni wokovu wangu;

3Kwa furaha mtachota maji

4Katika siku hiyo mtasema:

5Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu,

6Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,

← Isaya 11 Isaya Isaya 13 →