We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 11

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 10 Isaya Isaya 12 →

1Chipukizi litatokea kutoka shina la Yese,

2Roho wa Bwana atakaa juu yake,

3naye atafurahia kumcha Bwana.

4bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji,

5Haki itakuwa mkanda wake

6Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana-kondoo,

7Ngʼombe na dubu watalisha pamoja,

8Mtoto mchanga atacheza karibu na shimo la nyoka,

9Hawatadhuru wala kuharibu

10Katika siku hiyo, Shina la Yese atasimama kama bendera kwa ajili ya mataifa. Mataifa yatakusanyika kwake, na mahali pake pa kupumzikia patakuwa utukufu.

11Katika siku hiyo Bwana atanyoosha mkono wake mara ya pili kurudisha mabaki ya watu wake waliosalia kutoka Ashuru, Misri, Pathrosi,11:11 Pathrosi ina maana Misri ya Juu. Kushi, Elamu, Babeli, Hamathi na kutoka visiwa vya baharini.

12Atainua bendera kwa mataifa

13Wivu wa Efraimu utatoweka,

14Watawashukia katika miteremko ya Wafilisti

15Bwana atakausha

16Itakuwepo njia kuu kwa mabaki ya watu wake

← Isaya 10 Isaya Isaya 12 →