We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 10

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 9 Isaya Isaya 11 →

1Ole wao wawekao sheria zisizo za haki,

2kuwanyima maskini haki zao

3Mtafanya nini siku ya kutoa hesabu,

4Hakutasalia kitu chochote,

5“Ole kwa Ashuru, fimbo ya hasira yangu,

6Ninamtuma dhidi ya taifa lisilomjua Mungu,

7Lakini hili silo analokusudia,

8Maana asema, ‘Je, wafalme wote

9Je, Kalno hakutendwa kama Karkemishi?

10Kama vile mkono wangu ulivyotwaa falme za sanamu,

11je, nisiishughulikie Yerusalemu na sanamu zake

12Bwana atakapokuwa amemaliza kazi yake yote dhidi ya Mlima Sayuni na Yerusalemu, atasema, “Nitamwadhibu mfalme wa Ashuru kwa ajili ya majivuno ya ukaidi wa moyo wake na kutazama kwa macho yenye dharau.”

13Kwa kuwa anasema:

14Kama mtu atiavyo mkono kwenye kiota,

15Je, shoka laweza kujigamba kuwa na nguvu zaidi

16Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

17Nuru ya Israeli itakuwa moto,

18Fahari ya misitu yake na mashamba yenye rutuba

19Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana

20Katika siku ile, mabaki ya Israeli,

21Mabaki watarudi,10:21 Kiebrania ni Shear-Yashubu, pia 22. mabaki wa Yakobo

22Ingawa watu wako, ee Israeli, ni wengi kama mchanga wa pwani,

23Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, atatekeleza

24Kwa hiyo, hili ndilo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo:

25Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma,

26Bwana Mwenye Nguvu Zote atawachapa kwa mjeledi,

27Katika siku hiyo mzigo wao utainuliwa kutoka mabegani mwenu,

28Wanaingia Ayathi,

29Wanavuka kivukoni, nao wanasema,

30Piga kelele, ee Binti Galimu!

31Madmena inakimbia;

32Siku hii ya leo watasimama Nobu;

33Tazama, Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,

34Atakata vichaka vya msitu kwa shoka;

← Isaya 9 Isaya Isaya 11 →