1Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:
2Watu wanaotembea katika giza
3Umelikuza taifa,
4Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani,
5Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani,
6Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
7Kuongezeka kwa utawala wake na amani
8Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,
9Watu wote watajua hili:
10“Matofali yameanguka chini,
11Lakini Bwana amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao
12Waashuru kutoka upande wa mashariki
13Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga,
14Kwa hiyo Bwana atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,
15Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa,
16Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,
17Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,
18Hakika uovu huwaka kama moto;
19Kwa hasira ya Bwana Mwenye Nguvu Zote
20Upande wa kuume watakuwa wakitafuna,
21Manase atamla Efraimu,