1Mpenzi wako amekwenda wapi,
2Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,
3Mimi ni wake mpenzi wangu,
4Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,
5Uyageuze macho yako mbali nami,
6Meno yako ni kama kundi la kondoo
7Mashavu yako nyuma ya shela yako
8Panaweza kuwepo malkia sitini,
9lakini hua wangu, mkamilifu wangu,
10Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,
11Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi
12Kabla sijangʼamua,
13Rudi, rudi, ee Mshulami;