1Ee binti wa mwana wa mfalme,
2Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo
3Matiti yako ni kama wana-paa wawili,
4Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya ndovu.
5Kichwa chako kinakuvika taji kama mlima Karmeli.
6Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,
7Umbo lako ni kama la mtende,
8Nilisema, “Nitakwea mtende,
9na kinywa chako kama divai
10Mimi ni mali ya mpenzi wangu,
11Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani,
12Hebu na twende mapema
13Mitunguja hutoa harufu zake nzuri,