1Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,
2Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho.
3Nimevua joho langu:
4Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo;
5Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu,
6Nilimfungulia mpenzi wangu,
7Walinzi walinikuta
8Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza:
9Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani,
10Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu,
11Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote,
12Macho yake ni kama ya hua
13Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo
14Mikono yake ni fimbo za dhahabu
15Miguu yake ni nguzo za marmar
16Kinywa chake chenyewe ni utamu,