1Sikilizeni neno hili, ninyi ngʼombe wa Bashani
2Bwana Mwenyezi ameapa kwa utakatifu wake:
3Nanyi mtakwenda moja kwa moja
4“Nendeni Betheli mkatende dhambi;
5Mchome mkate uliotiwa chachu kama sadaka ya shukrani,
6“Niliwapa njaa kwenye kila mji,
7“Pia niliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu
8Watu walitangatanga mji hata mji kutafuta maji,
9“Mara nyingi nilizipiga bustani zenu na mashamba ya mizabibu,
10“Niliwapelekea tauni miongoni mwenu
11“Niliwaangamiza baadhi yenu kama
12“Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli,
13Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo,