We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Amosi 3

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Amosi 2 Amosi Amosi 4 →

1Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:

2“Ni ninyi tu niliowachagua

3Je, watu wawili hutembea pamoja

4Je, simba hunguruma katika kichaka

5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini

6Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,

7Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote

8Simba amenguruma:

9Tangazeni katika ngome za Ashdodi

10Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,

11Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:

12Hili ndilo asemalo Bwana:

13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.

14“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,

15Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,

← Amosi 2 Amosi Amosi 4 →