1Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
2“Ni ninyi tu niliowachagua
3Je, watu wawili hutembea pamoja
4Je, simba hunguruma katika kichaka
5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini
6Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,
7Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote
8Simba amenguruma:
9Tangazeni katika ngome za Ashdodi
10Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema,
11Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi:
12Hili ndilo asemalo Bwana:
13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
14“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,
15Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,