1Hili ndilo asemalo Bwana:
2Nitatuma moto juu ya Moabu
3Nitamwangamiza mtawala wake
4Hili ndilo asemalo Bwana:
5Nitatuma moto juu ya Yuda
6Hili ndilo asemalo Bwana:
7Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,
8Watu hulala kando ya kila madhabahu
9“Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,
10“Niliwapandisha toka Misri,
11Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu
12“Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo
13“Sasa basi, nitawaponda
14Mkimbiaji hodari hatanusurika,
15Mpiga upinde atakimbia,
16Hata askari walio mashujaa sana