1Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.
2Alisema:
3Hili ndilo asemalo Bwana:
4Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli
5Nitalivunja lango la Dameski;
6Hili ndilo asemalo Bwana:
7nitatuma moto juu ya kuta za Gaza
8Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi
9Hili ndilo asemalo Bwana:
10Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro
11Hili ndilo Bwana asemalo:
12Nitatuma moto juu ya Temani
13Hili ndilo asemalo Bwana:
14Nitatuma moto kwenye kuta za Raba
15Mfalme wake atakwenda uhamishoni,