1Mwimbieni Bwana wimbo mpya;
2Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake;
3Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,
4Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;
5Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,
6Fahari na enzi viko mbele yake;
7Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa,
8Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
9Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake;
10Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.”
11Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;
12mashamba na yashangilie,
13itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja,