1Nilimlilia Mungu ili anisaidie,
2Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana,
3Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni;
4Ulizuia macho yangu kufumba;
5Nilitafakari juu ya siku zilizopita,
6nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku.
7“Je, Bwana atakataa milele?
8Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele?
9Je, Mungu amesahau kuwa na huruma?
10Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu:
11Nitayakumbuka matendo ya Bwana;
12Nitazitafakari kazi zako zote
13Ee Mungu, njia zako ni takatifu.
14Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza,
15Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako,
16Maji yalikuona, Ee Mungu,
17Mawingu yalimwaga maji,
18Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli,
19Njia yako ilipita baharini,
20Uliongoza watu wako kama kundi