1Ee Mungu, tunakushukuru,
2Unasema, “Ninachagua wakati maalum;
3Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,
4Kwa wale wenye majivuno ninasema,
5Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;
6Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi
7Bali Mungu ndiye ahukumuye:
8Mkononi mwa Bwana kuna kikombe
9Bali mimi, nitatangaza hili milele;
10Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,