1Ee Mungu, niokoe,
2Ninazama kwenye vilindi vya matope,
3Nimechoka kwa kuomba msaada,
4Wale wanaonichukia bila sababu
5Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,
6Ee Bwana, ewe Bwana Mwenye Nguvu Zote,
7Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,
8Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,
9Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,
10Ninapolia na kufunga,
11Ninapovaa nguo ya gunia,
12Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,
13Lakini Ee Bwana, ninakuomba,
14Uniokoe katika matope,
15Usiache mafuriko yanigharikishe
16Ee Bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako;
17Usimfiche mtumishi wako uso wako,
18Njoo karibu uniokoe,
19Unajua jinsi ninavyodharauliwa,
20Dharau zimenivunja moyo
21Waliweka nyongo katika chakula changu
22Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,
23Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,
24Uwamwagie ghadhabu yako,
25Mahali pao na pawe ukiwa,
26Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,
27Walipize uovu juu ya uovu,
28Wafutwe kutoka kitabu cha uzima
29Mimi niko katika maumivu na dhiki;
30Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,
31Hili litampendeza Bwana kuliko ngʼombe dume,
32Maskini wataona na kufurahi:
33Bwana huwasikia wahitaji
34Mbingu na dunia zimsifu,
35kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni
36watoto wa watumishi wake watairithi