1Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,
2Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,
3Bali wenye haki na wafurahi,
4Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,
5Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,
6Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,
7Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,
8dunia ilitikisika,
9Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi
10Ee Mungu, watu wako waliishi huko,
11Bwana alitangaza neno,
12“Wafalme na majeshi walikimbia upesi,
13Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,
14Wakati Mwenyezi68:14 Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania. alipowatawanya wafalme katika nchi,
15Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,
16Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,
17Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,
18Ulipopanda juu, uliteka mateka,
19Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,
20Mungu wetu ni Mungu aokoaye,
21Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,
22Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;
23ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,
24Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,
25Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,
26Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,
27Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,
28Ee Mungu, amuru uwezo wako,
29Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu
30Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,
31Wajumbe watakuja kutoka Misri,
32Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,
33mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,
34Tangazeni uwezo wa Mungu,
35Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,