1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,
2Unirehemu Bwana,
3Nafsi yangu ina uchungu mwingi.
4Geuka Ee Bwana, unikomboe,
5Hakuna mtu anayekukumbuka
6Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;
7Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,
8Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,
9Bwana amesikia kilio changu kwa huruma,
10Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,