1Ee Bwana, tegea sikio maneno yangu,
2Sikiliza kilio changu ili unisaidie,
3Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee Bwana;
4Wewe si Mungu unayefurahia uovu,
5Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako,
6Unawaangamiza wasemao uongo.
7Lakini mimi, kwa rehema zako kuu,
8Niongoze katika haki yako, Ee Bwana,
9Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika,
10Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu!
11Lakini wote wakimbiliao kwako na wafurahi,
12Kwa hakika, Ee Bwana, unawabariki wenye haki,