We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 59

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 58 Zaburi Zaburi 60 →

1Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,

2Uniponye na watu watendao mabaya,

3Tazama wanavyonivizia!

4Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.

5Ee Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!

6Hurudi wakati wa jioni,

7Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,

8Lakini wewe, Bwana, uwacheke;

9Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,

10Mungu wangu unipendaye.

11Lakini usiwaue, Ee Bwana, ngao yetu,

12Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,

13wateketeze katika ghadhabu,

14Hurudi jioni,

15Wanatangatanga wakitafuta chakula,

16Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,

17Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.

← Zaburi 58 Zaburi Zaburi 60 →