1Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi!
2Wengi wanasema juu yangu,
3Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote;
4Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu,
5Ninajilaza na kupata usingizi;
6Sitaogopa makumi elfu ya adui,
7Ee Bwana, amka!
8Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana.