1Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,
2Wafalme wa dunia wanajipanga
3Wanasema, “Tuvunje minyororo yao
4Yeye atawalaye mbinguni hucheka,
5Kisha huwakemea katika hasira yake
6“Nimemtawaza Mfalme wangu
7Nitatangaza amri ya Bwana:
8Niombe, nami nitayafanya mataifa
9Utawatawala kwa fimbo ya chuma
10Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;
11Mtumikieni Bwana kwa hofu
12Mbusu Mwana, asije akakasirika