1Ee Bwana, nithibitishe katika haki,
2Ee Bwana, unijaribu, unipime,
3kwa maana upendo wako
4Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
5ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
6Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
7nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
8Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,
9Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,
10ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,
11Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;
12Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;