1Dunia ni mali ya Bwana, na vyote vilivyomo ndani yake,
2maana aliiwekea misingi yake baharini
3Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana?
4Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,
5Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana,
6Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,
7Inueni vichwa vyenu, enyi malango,
8Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?
9Inueni vichwa vyenu, enyi malango,
10Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?