We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 17

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 16 Zaburi Zaburi 18 →

1Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki,

2Hukumu yangu na itoke kwako,

3Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku,

4Kuhusu matendo ya wanadamu:

5Hatua zangu zimeshikamana na njia zako;

6Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu,

7Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu,

8Nilinde kama mboni ya jicho lako,

9kutokana na waovu wanaonishambulia,

10Huifunga mioyo yao iliyo migumu,

11Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira,

12Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye,

13Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe,

14Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii,

15Na mimi katika haki nitauona uso wako,

← Zaburi 16 Zaburi Zaburi 18 →