We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 16

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 15 Zaburi Zaburi 17 →

1Ee Mungu, uniweke salama,

2Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu;

3Kwa habari ya watakatifu walioko duniani,

4Huzuni itaongezeka kwa wale

5Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu;

6Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,

7Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri,

8Nimemweka Bwana mbele yangu daima.

9Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;

10kwa maana hutaniacha kaburini,

11Umenijulisha njia ya uzima;

← Zaburi 15 Zaburi Zaburi 17 →