1Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.
2Ee Bwana, sikia sauti yangu.
3Kama wewe, Ee Bwana, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,
4Lakini kwako kuna msamaha,
5Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,
6Nafsi yangu inamngojea Bwana
7Ee Israeli, mtumaini Bwana,
8Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli