1Wamenionea mno tangu ujana wangu;
2wamenionea mno tangu ujana wangu,
3Wakulima wamelima mgongo wangu,
4Lakini Bwana ni mwenye haki;
5Wale wote waichukiao Sayuni
6Wawe kama majani juu ya paa,
7kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,
8Wale wapitao karibu na wasiseme,