We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 129

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 128 Zaburi Zaburi 130 →

1Wamenionea mno tangu ujana wangu;

2wamenionea mno tangu ujana wangu,

3Wakulima wamelima mgongo wangu,

4Lakini Bwana ni mwenye haki;

5Wale wote waichukiao Sayuni

6Wawe kama majani juu ya paa,

7kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

8Wale wapitao karibu na wasiseme,

← Zaburi 128 Zaburi Zaburi 130 →