We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 13

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 12 Zaburi Zaburi 14 →

1Mpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele?

2Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini,

3Nitazame, unijibu, Ee Bwana Mungu wangu.

4Adui yangu atasema, “Nimemshinda,”

5Lakini ninategemea upendo wako usiokoma;

6Nitamwimbia Bwana,

← Zaburi 12 Zaburi Zaburi 14 →