1Usifurahie, ee Israeli;
2Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai
3Hawataishi katika nchi ya Bwana,
4Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai
5Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa,
6Hata ikiwa wataokoka maangamizi,
7Siku za adhabu zinakuja,
8Nabii, pamoja na Mungu wangu,
9Wamezama sana katika rushwa,
10“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama
11Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege:
12Hata wakilea watoto,
13Nimemwona Efraimu, kama Tiro,
14Wape, Ee Bwana,
15“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali,
16Efraimu ameharibiwa,
17Mungu wangu atawakataa