1“Wekeni tarumbeta midomoni mwenu!
2Israeli ananililia,
3Lakini Israeli amekataa lile lililo jema,
4Wanaweka wafalme bila idhini yangu,
5Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama!
6Zimetoka katika Israeli!
7“Wanapanda upepo
8Israeli amemezwa;
9Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru
10Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa,
11“Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi
12Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi
13Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi
14Israeli amemsahau Muumba wake