1Rudi, ee Israeli, kwa Bwana Mungu wako.
2Chukueni maneno pamoja nanyi,
3Ashuru hawezi kutuokoa,
4“Nitaponya ukaidi wao
5Nitakuwa kama umande kwa Israeli;
6matawi yake yatatanda.
7Watu wataishi tena kwenye kivuli chake.
8Ee Efraimu, nina shughuli gani tena na sanamu?
9Ni nani mwenye hekima? Atayatambua mambo haya.