1“Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda,
2Lakini kadiri nilivyomwita Israeli,
3Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea,
4Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu,
5“Je, hawatarudi Misri,
6Panga zitametameta katika miji yao,
7Watu wangu wamedhamiria kuniacha.
8“Efraimu, ninawezaje kukuacha?
9Sitatimiza hasira yangu kali,
10Watamfuata Bwana;
11Watakuja wakitetemeka
12Efraimu amenizunguka kwa uongo,