1Ole kwa wale wapangao uovu,
2Wanatamani mashamba na kuyakamata,
3Kwa hiyo, Bwana asema:
4Siku hiyo watu watawadhihaki,
5Kwa hiyo hutakuwa na yeyote katika kusanyiko la Bwana
6Manabii wao husema, “Usitabiri.
7Je, ingesemwa, ee nyumba ya Yakobo:
8Siku hizi watu wangu wameinuka
9Unawahamisha wanawake wa watu wangu
10Inuka, nenda zako!
11Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na kusema,
12“Hakika nitawakusanya ninyi nyote, ee Yakobo,
13Yeye afunguaye njia atawatangulia;