We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mika 1

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

Mika Mika 2 →

1Neno la Bwana lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.

2Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote,

3Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake;

4Milima inayeyuka chini yake

5Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo,

6“Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto,

7Sanamu zake zote

8Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza;

9Kwa sababu jeraha lake halitibiki;

10Usiliseme hili huko Gathi;

11Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,

12Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu

13Enyi mkaao Lakishi,

14Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi

15Nitawaleteeni atakayewashinda

16Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza

Mika Mika 2 →