1Neno la Bwana lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.
2Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote,
3Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake;
4Milima inayeyuka chini yake
5Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo,
6“Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto,
7Sanamu zake zote
8Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza;
9Kwa sababu jeraha lake halitibiki;
10Usiliseme hili huko Gathi;
11Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,
12Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu
13Enyi mkaao Lakishi,
14Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi
15Nitawaleteeni atakayewashinda
16Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza