1“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu?
2Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu,
3Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi,
4Watoto wake wako mbali na usalama,
5Wenye njaa huyala mavuno yake,
6Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo,
7Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika,
8“Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu,
9Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa,
10Yeye huipa nchi mvua,
11Huwainua juu wanyonge,
12Huipinga mipango ya wenye hila,
13Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao,
14Giza huwapata wakati wa mchana;
15Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao;
16Kwa hiyo maskini analo tarajio,
17“Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi;
18Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga;
19Kutoka majanga sita atakuokoa;
20Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo,
21Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi,
22Utayacheka maangamizo na njaa,
23Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya mashamba,
24Utajua ya kwamba hema lako li salama;
25Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi,
26Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee mtimilifu,
27“Tumelichunguza hili, nalo ni kweli.