We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 37

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 36 Ayubu Ayubu 38 →

1“Kwa hili moyo wangu unatetemeka,

2Sikiliza! Sikiliza ngurumo ya sauti yake,

3Huuachilia umeme wake wa radi chini ya mbingu yote

4Baada ya hayo huja sauti ya ngurumo yake;

5Sauti ya Mungu hunguruma kwa namna za ajabu;

6Huiambia theluji, ‘Anguka juu ya dunia,’

7Ili wanadamu wote aliowaumba wapate kujua kazi zake,

8Wanyama hujificha;

9Dhoruba hutoka katika chumba chake,

10Pumzi ya Mungu hutoa barafu,

11Huyasheheneza mawingu kwa maji,

12Nayo mawingu huzungukazunguka pande zote kwa amri yake,

13Huleta mawingu ili kuadhibu wanadamu,

14“Ayubu, sikiliza hili;

15Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza mawingu,

16Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia,

17Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako

18je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza anga,

19“Tuambieni yatupasayo kumwambia;

20Je, aambiwe kwamba nataka kuongea?

21Basi hakuna awezaye kulitazama jua,

22Kutoka kaskazini yeye huja na fahari kuu;

23Yeye Mwenyezi hatuwezi kumfikia, naye ametukuzwa katika uweza;

24Kwa hiyo, wanadamu mheshimuni,

← Ayubu 36 Ayubu Ayubu 38 →