1“Nimefanya agano na macho yangu
2Kwa kuwa fungu la mwanadamu ni gani kutoka kwa Mungu juu,
3Je, si uharibifu kwa watu waovu,
4Je, yeye hazioni njia zangu
5“Kama nimeishi katika uongo
6Mungu na anipime katika mizani za uaminifu,
7kama hatua zangu zimepotoka kutoka kwenye njia,
8basi wengine na wale nilichokipanda,
9“Kama moyo wangu umeshawishiwa na mwanamke,
10basi mke wangu na asage nafaka ya mwanaume mwingine,
11Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu,
12Ni moto uwakao kwa Uharibifu;31:12 Kwa Kiebrania ni Abadon (Ay 26:6; Mit 15:11).
13“Kama ningewanyima haki watumishi wangu wanaume au vijakazi wangu,
14nitafanya nini Mungu atakaponikabili?
15Je, yeye aliyeniumba tumboni mwa mama yangu,
16“Ikiwa nimewanyima maskini haja zao,
17kama nimekula chakula changu mwenyewe,
18lakini tangu ujana wangu nimemlea yatima kama ambavyo baba angefanya,
19kama nilimwona yeyote akiteseka kwa kukosa nguo,
20ambaye wala moyo wake haukunibariki
21na kama nimeinua mkono wangu dhidi ya yatima,
22basi mkono wangu na unyofoke toka begani mwangu,
23Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu,
24“Kama nimeweka tumaini langu kwenye dhahabu,
25kama nimefurahia wingi wa utajiri wangu,
26kama nimelitazama jua katika kungʼaa kwake
27hivyo moyo wangu kushawishiwa kwa siri,
28basi hiyo pia ingekuwa dhambi ya kuhukumiwa,
29“Kama nimeshangilia msiba wa adui yangu,
30lakini sikuruhusu kinywa changu kufanya dhambi
31kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema,
32Lakini hakuna mgeni aliyelala njiani,
33kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo,
34kwa sababu ya kuogopa umati wa watu,
35(“Laiti kama angekuwepo mtu wa kunisikia!
36Hakika ningeyavaa begani mwangu,
37Ningempa hesabu ya kila hatua yangu,
38“Kama nchi yangu inalia dhidi yangu,
39kama nimekula mazao yake bila malipo,
40basi miiba na iote badala ya ngano,