1“Lakini sasa watu wadogo kwa umri kuniliko wananidhihaki,
2Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu,
3Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa,
4Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi,
5Walifukuzwa mbali na watu wao,
6Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka,
7Kwenye vichaka walilia kama punda,
8Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya,
9“Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo;
10Wananichukia sana na kujitenga nami,
11Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa,
12Kuume kwangu kundi linashambulia;
13Huizuia njia yangu,
14Wananijia kama watu wapitao katika ufa mpana;
15Vitisho vimenifunika;
16“Sasa maisha yangu yamefikia mwisho;
17Usiku mifupa yangu inachoma;
18Kwa uwezo wake mkuu Mungu huwa kwangu kama nguo;
19Yeye amenitupa kwenye matope,
20“Ee Bwana, ninakulilia wewe lakini hunijibu;
21Wewe unanigeukia bila huruma;
22Unaninyakua na kunipeperusha kwa upepo;
23Ninajua utanileta mpaka kifoni,
24“Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji,
25Je, sikulia kwa ajili ya wale waliokuwa katika taabu?
26Lakini nilipotazamia mema, mabaya yalinijia;
27Kusukwasukwa ndani yangu kamwe hakutulii;
28Ninazunguka nikiwa nimeungua, lakini si kwa jua;
29Nimekuwa ndugu wa mbweha,
30Ngozi yangu imekuwa nyeusi nayo inachunika;
31Kinubi changu kimegeuka kuwa maombolezo,